Homa ya pambano la watani wa jadi, Simba na Yanga limeanza kuwapata wanachama na mashabiki wa timu zote mbili, ambapo pamoja na kila upande kutamba, lakini kumekuwa na angalizo kutokana na kile kilichoonekana kwenye mechi za matamasha yao
..... download Xtra 90 App



