Yanga - Local

Kuzishuhudia Yanga vs Vital kiingilio Buku Tano

Joel JJ By Joel JJ
β€’
19 Aug 2024
Kuzishuhudia Yanga vs Vital kiingilio Buku Tano

Meneja wa Habari na Mawasiliano klabu ya Yanga Ali Kamwe amewataka mashabiki na Wanachama wa timu hiyo kujitokeza kwa wingi uwanja wa Benjamin Mkapa siku ya Jumamosi katika mchezo wa mkondo wa pili hatua ya awali ligi ya mabingwa barani Afrika dhidi ya Vital'o

Kamwe amesema Yanga imepania kupeleka ujumbe barani Afrika siku ya Jumamosi kwa kujaza uwanja wa Benjamin Mkapa katika mechi za hatua ya awali

Aidha Kamwe amewaahidi Wananchi siku hiyo wanakwenda kujaza kapu la mabao ili kuhakikisha wanaondoka na fedha za kutosha kutokana na goli la Mama

Kamwe ametangaza viingilio vya mchezo huo utakaoanza saa 1 usiku kuwa Mzunguuko na Machungwa ni Tsh 5,000/-, VIP C Tsh 10,000/-, VIP B Tsh 20,000/-, na VIP A ni Tsh 30,000/-

"Tiketi tayari zimeanza kuuzwa, nawaomba Wananchi tununue tiketi mapema tuache mazoea ya kununua tiketi siku za mwisho ili kuepuka changamoto zisizotarajiwa," alisema Kamwe

Kamwe amesema Jumamosi Yanga itazindua rasmi msimu wa ligi ya mabingwa 2024/25 kwa ushindi mnono mbele ya mashabiki wake

Aidha Kamwe amethibitisha msimu huu utaratibu wa mechi kupewa majina ya wachezaji hautakuwepo, baadae watatangaza utaratibu mpya ambao utatumika kuhamasisha mechi za Kimataifa

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
47m ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
2h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
4h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
18h ago
READ MORE β†’