Meneja wa Habari na Mawasiliano klabu ya Yanga Ali Kamwe amewataka mashabiki na Wanachama wa timu hiyo kujitokeza kwa wingi uwanja wa Benjamin Mkapa siku ya Jumamosi katika mchezo wa mkondo wa pili hatua ya awali ligi ya mabingwa barani Afrika dhidi ya Vital'o
..... download Xtra 90 App



