Kocha wa Azam Fc, Youssouph Dabo, amesema hawakupata ushindi mkubwa nyumbani kwa sababu wachezaji wake walionekana kucheza kwa presha ya kutaka kufunga mabao mapema na walipokuwa wanashindwa kufanya hivyo walikuwa wanatoka mchezoni na kushindwa kufuata maelekezo yake
..... download Xtra 90 App



