Wakati Yanga ikitarajiwa kukamilisha mechi ya pili hatua ya awali ligi ya mabingwa dhidi ya Vital'o siku ya Jumamosi, kocha mkuu wa mabingwa hao wa Tanzania Bara Miguel Gamondi ameanza kuipigia hesabu mechi ya raundi ya kwanza kwani kikosi chake kina asilimia kubwa ya kuiondoa Vital'o
..... download Xtra 90 App



