Kocha wa Timu ya Taifa 'Taifa Stars', Hemed Morocco, amesema kujituma kwa wachezaji na kufuata maelekezo yake muda wote wa mchezo ndio sababu ya kuibuka na ushindi kwenye mchezo dhidi ya Guinea juzi usiku
..... download Xtra 90 App
Kocha wa Timu ya Taifa 'Taifa Stars', Hemed Morocco, amesema kujituma kwa wachezaji na kufuata maelekezo yake muda wote wa mchezo ndio sababu ya kuibuka na ushindi kwenye mchezo dhidi ya Guinea juzi usiku
..... download Xtra 90 App