Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi klabu ya Simba Crescentius Magori amesema kiungo Yusuph Kagoma yuko huru kuitumikia Simba kwa sababu klabu haijawahi kupokea barua yoyote kutoka TFF juu ya mchezaji huyo kusimamishwa kama ilivyodai taarifa iliyotolewa na Mwanasheria wa Yanga mapema leo
..... download Xtra 90 App



