Azam - Pamba - Local

Azam Fc mambo bado magumu ligi kuu

Joel JJ By Joel JJ
β€’
15 Sep 2024
Azam Fc mambo bado magumu ligi kuu

Azam Fc wameendeleza mwanzo mbaya wa msimu huu 2024/25 baada ya kulazimishwa suluhu ya bila kufungana dhidi ya Pamba Fc katika mchezo wa ligi kuu ya NBC uliopigwa katika uwanja wa Azam Complex

Huo ni mchezo wa pili mfululizo kwa Azam Fc wanakosa ushindi wakiambulia alama moja

Pamba almanusra waondoke na alama zote tatu kama sio mwamuzi Tatu Malogo kulikata bao hilo na kuamuru mpira wa adhabu kuelekea Azam Fc kwani kabla ya bao hilo kufungwa mshambuliaji George Mpole alifanyiwa madhambi nje kidogo ya eneo la hatari

Azam Fc ilifanya mabadiliko ya benchi la ufundi ambapo Rachid Taoussi raia wa Morocco jana aliiongoza timu hiyo katika mechi ya kwanza akichukua nafasi ya Yusuf Dabo

Hata hivyo ni wazi Taoussi ana kazi ya kufanya kurejesha makali ya Azam Fc kabla ya kukutana na Simba katika mchezo unaofuata Septemba 26

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
6h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
6h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
7h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
10h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
14h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
14h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
15h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
16h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
16h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
17h ago
READ MORE β†’