Meneja wa Habari na Mawasiliano klabu ya Simba Ahmed Ali amewatoa hofu mashabiki wa timu hiyo kuwa timu yao iko salama licha ya 'purukushani' zilizojitokeza uwanjani baada ya mchezo dhidi ya Al Ahly Tripoli uliopigwa jana huko Libya
..... download Xtra 90 App



