Mshambuliaji Crispin Ngushi, amefunga bao lake la pili kwenye Ligi Kuu Tanzania, likiwa pekee katika mchezo ambao timu yake ya Mashujaa FC ilishinda 1-0 dhidi ya Coastal Union kwenye Uwanja wa KMC, Mwenge Dar es Salaam akisema lengo lake ni kufika mbali zaidi, hata kama itakuwa ni kurejea kwenye klabu yake ya zamani, Yanga
..... download Xtra 90 App



