Mapema leo, Rais wa Yanga na Mwenyekiti wa Vilabu Barani Afrika(ACA) Injinia Hersi Said alishiriki kikao cha Kamati ya utendaji CAF kilichofanyika Nairobi, Kenya
Rais wa Kenya Mhe. William Ruto ndiye aliyefungua kikao hicho ambacho kiliongozwa na Rais wa CAF, Patrice Motsepe