Licha ya ushindi wa bao 1-0 ambao Yanga walipata ugenini dhidi ya CBE SA katika mchezo wa mkondo wa kwanza kuwania tiketi ya kufuzu hatua ya makundi ligi ya mabingwa barani Afrika, Kocha Mkuu wa Yanga Miguel Gamondi amesema bado hawajafuzu hatua ya makundi hivyo wanahitaji kushinda mchezo wa marudiano
..... download Xtra 90 App



