Miamba watatu wa Ulaya wanataka kumsajili Mason Greenwood, PSG wanavutiwa na mshambuliaji wa Newcastle na Chelsea wanataka kumuuza Axel Disasi. Barcelona, Atletico Madrid na Bayern Munich ni miongoni mwa vilabu vinavyomhitaji mshambuliaji wa Marseille Mwingereza Mason Greenwood, 22. (Talksport)
..... download Xtra 90 App



