Mechi za Ligi Kuu Septemba 21

Joel JJ By Joel JJ β€’ 21st September 2024


Mechi za Ligi Kuu Septemba 21

Saa 8 mchana, Tanzania Prisons watakuwa dimba la Sokoine wakiwakaribisha Dodoma Jiji huku Pamba Jiji watakuwa nyumbani CCM Kirumba wakiwakaribisha Mashujaa Fc saa 10 jioni

Hizi ni mechi za raundi ya 5 ligi kuu ya NBC ambayo mpaka sasa Singida BS wako kileleni wakikusanya alama 12 baada ya kushinda mechi nne


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.