Kutokana na timu yao kuwa na matokeo ya kusuasua katika Ligi Kuu Tanzania Bara, uongozi wa Pamba Jiji FC, umewataka mashabiki na wanachama wa timu hiyo kuwa watulivu kwa sababu muda bado upo wa kufanyia kazi mapungufu ya kikosi chao
..... download Xtra 90 App



