Yanga - Local

Baada ya kuitungua KenGold, Bacca atamba

Joel JJ By Joel JJ
β€’
26 Sep 2024
Baada ya kuitungua KenGold, Bacca atamba

Baada ya kuifungia Yanga goli pekee la ushindi katika mchezo wa ligi kuu dhidi ya KenGold hapo jana, beki Ibrahim Bacca amesema huo ni mwanzo tu kwani msimu huu amejiwekea malengo makubwa

Bacca alifunga bao hilo dakika ya 13 akimalizia mpira wa adhabu uliopigwa Stephane Aziz Ki ambaye ameandikisha 'assist' yake ya pili msimu huu

"Nafurahi nimeifungia timu yangu bao la ushindi siku ya leo. Mchezo ulikuwa mgumu lakini muhimu kwetu tumefanikiwa kuibuka na ushindi"

"Huu ni mwanzo tu, msimu huu nina 'target' ya kuwania kiatu cha dhahabu, hakuna kisichowezekana" alitamba Bacca baada ya kupewa taarifa kuwa wanaoongoza katika orodha ya wafungaji msimu huu wana mabao mawili

Bao alilofunga Bacca jana limeingia katika vitabu vya kumbukumbu kwani hilo ni bao lake la kwanza tangu alipojiunga na Yanga misimu mitatu iliyopita

More Stories

Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
28m ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
1h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
2h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
3h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
3h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
17h ago
READ MORE β†’
Clement Mzize arejea rasmi kikosini baada ya miezi sita nje kwa majeraha
Clement Mzize arejea rasmi kikosini baada ya miezi sita nje kwa majeraha
22h ago
READ MORE β†’