Simba - Local - Transfer

Simba yamnasa Mpanzu

Joel JJ By Joel JJ
β€’
1 Oct 2024
Simba yamnasa Mpanzu

Simba imetambulisha usajili wa winga Mcongomni Elie Mpanzu aliyetua kutoka klabu ya AS Vita

Lilikuwa ni suala la muda Simba kuthibitisha usajili wa nyota huyo ambaye wiki iliyopita alikuwepo nchini kushuhudia mchezo wa kombe la Shirikisho la CAF kati ya Simba dhidi ya Al Ahly Tripoli

Ujio wa Mpanzu wa unakwenda kuimarisha eneo la safu ya ushambuliaji ya Simba kwani anaweza kutumika kama winga au namba 10

Mpanzu ataanza kujifua mapema na Simba huku akisubiri kufunguliwa kwa Dirisha dogo la usajili Disemba 15 aanze kutumika rasmi kwenye ligi

Nyota huyo amepewa mkataba wa miaka miwili

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
6h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
6h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
7h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
10h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
14h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
14h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
15h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
16h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
16h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
17h ago
READ MORE β†’