Arsenal, Bayern Munich, Manchester City na Real Madrid wako mbioni kumsajili kiungo wa kati wa Ujerumani Florian Wirtz kutoka Bayer Leverkusen msimu ujao, huku klabu hiyo ya Bundesliga ikitaka €150m (£125m) kwa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 21. (Bild – in Deutsch)
..... download Xtra 90 App



