KenGold - Local

KenGold yazinduikia kwa JKT Tanzania

Joel JJ By Joel JJ
β€’
5 Oct 2024
KenGold yazinduikia kwa JKT Tanzania

Baada ya kuanza msimu kwa kusuasua, KenGold jana walizinduka na kuhesabu ushindi wa kwanza msimu huu kwa kuwachapa maafande wa JKT Tanzania kwa bao 1-0

Bao hilo pekee la mchezo wa awali wa Ligi Kuu leo uliofanyika uwanja wa Sokoine jijini Mbeya limefungwa na Hebert Lukindo katika dakika 68

Ken Gold imepoteza michezo 5 ya kwanza ya ligi hiyo na imetoka sare mchezo mmoja

Aidha matokeo ya mechi nyingine, Simba na Coastal Union zilitoka sare ya mabao 2-2 kwenye uwanja wa KMC Dar es Salaam wakati Mashujaa ikikubali kichapo cha bao 1-0 kutoka kwa Singida Black Stars kwenye uwanja wa Lake Tanganyika mjini Kigoma

Singida BS imeendelea kuongoza ligi ikifikisha alama 16, ikifuatiwa na Simba na Fountain Gate ambazo zina alama 13 kwa kila moja huku Yanga ikiwa ya nne ya alama 12

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
4h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
4h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
4h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
8h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
11h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
12h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
12h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
13h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
14h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
15h ago
READ MORE β†’