Jumla ya mabao 91 yamefungwa katika Ligi Kuu Tanzania Bara. Mabao hayo yamefungwa katika michezo 50 ambayo imechezwa mpaka sasa wakati ligi hiyo imesimama kupisha michezo ya kusaka tiketi ya kucheza Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2025)
..... download Xtra 90 App



