Arsenal wanapanga kuwasilisha dau la kumnunua beki wa kushoto wa Bournemouth na Hungary Milos Kerkez, mwenye umri wa miaka 20, na winga wa Cherries Antoine Semenyo mwenye umri wa miaka 24, mchezaji wa kimataifa wa Ghana. (CaughtOffside)
..... download Xtra 90 App



