Klabu ya Pamba Jiji imemtangaza Kocha Fred Felix Minziro kuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo
Minziro amechukua mikoba iliyoachwa na Goran Kopunovic aliyefutwa kazi na klabu hiyo baada ya kipigo cha mabao 4-0 kutoka kwa Yanga

Klabu ya Pamba Jiji imemtangaza Kocha Fred Felix Minziro kuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo
Minziro amechukua mikoba iliyoachwa na Goran Kopunovic aliyefutwa kazi na klabu hiyo baada ya kipigo cha mabao 4-0 kutoka kwa Yanga
