Yanga - Kaizer - Local - International

Kaze aungana na Nabi Kaizer Chiefs

Joel JJ By Joel JJ
β€’
17 Oct 2024
Kaze aungana na Nabi Kaizer Chiefs

Klabu ya Kaizer Chiefs imemteua Cedric Kaze kuwa kocha msaidizi akiungana na kocha Nasreddine Nabi waliofanya kazi pamoja Yanga kwa misimu miwili

Inaelezwa Nabi aliwataka mabosi wake wamuajiri Kaze ili kuongeza nguvu katika benchi lake la ufundi

Akiwa na Nabi katika kikosi cha Yanga, walishinda mataji sita katika misimu miwili pamoja na kucheza fainali ya kombe la Shirikisho la CAF

Tangu atue Kaizer Chiefs, Nabi amefanikiwa kuwaongeza katika benchi lake la ufundi Kaze na Khalil Ben Youssef ambao alifanya nao kazi Yanga

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
6h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
6h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
7h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
10h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
14h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
14h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
15h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
16h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
16h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
17h ago
READ MORE β†’