Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi klabu ya Simba Crescentius Magori amemshushia lawama mwamuzi Ramadhan Kayoko kwa kuinyima Simba penati mbili halali katika mchezo dhidi ya Yanga uliopigwa uwanja wa Benjamin Mkapa jana na Yanga kuibuka na ushindi wa bao 1-0
..... download Xtra 90 App



