Simba - Local - Yanga

Simba yalia na Kayoko

Joel JJ By Joel JJ
β€’
20 Oct 2024
Simba yalia na Kayoko

Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi klabu ya Simba Crescentius Magori amemshushia lawama mwamuzi Ramadhan Kayoko kwa kuinyima Simba penati mbili halali katika mchezo dhidi ya Yanga uliopigwa uwanja wa Benjamin Mkapa jana na Yanga kuibuka na ushindi wa bao 1-0

Magori pia alieleza kutofurahishwa na aina ya faulo waliyopewa Yanga ambayo ilipelekea kufungwa kwa bao hilo alilojifunga beki Kelvin Kijili katika jitihada za kuokoa shuti la Maxi Nzengeli

Hakuishia hapo, Mtendaji Mkuu huyo wa zamani wa Simba, alimshushia tuhuma mlinda lango Mussa Camara

"Musa Camara, Musa Camara nakuita mara 3!! Tutajua very soon! Hata huko Conakry tutafika! Kayoko Kibu kaangushwa mara 2 ndani ya 18 hukutoa penati unaenda kutoa faulo haina kichwa wala miguu," aliandika Magori katika ukurasa wake wa mtandao wa kijamii

Nae Mwenyekiti wa Simba Murtaza Mangungu amesema waamuzi waliharibu mechi hiyo kwa kuinyima Simba faida katika matukio muhimu

More Stories

Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
26m ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
1h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
2h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
3h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
3h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
17h ago
READ MORE β†’
Clement Mzize arejea rasmi kikosini baada ya miezi sita nje kwa majeraha
Clement Mzize arejea rasmi kikosini baada ya miezi sita nje kwa majeraha
22h ago
READ MORE β†’