Chama cha soka nchini Ufaransa kimemchagua mwamuzi nguli Pierluigi Collina miaka 64 kuwa mwamuzi bora wa muda wote katika historia ya mpira wa miguu
Kwa sasa mzee Colinna ni Mwenyekiti wa bodi ya waamuzi kwenye Shirikisho la mpira wa miguu duniani FIFA
Collina alizaliwa Bologna na kusomea Chuo Kikuu cha Bologna, na kuhitimu shahada ya uchumi mwaka 1984





