Mshambuliaji wa Fountain Gate Selemani Mwalimu ameendelea kutakata katika ligi kuu ya NBC leo akifunga bao moja na kuihakikisha Fountain Gate kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 katika mchezo uliopigwa Babati, Manyara
Mwalimu ndiye kinara wa mabao ligi kuu ya NBC akiwa amefunga mabao sita






