Local,Normal News,Fountain, KMC

Fountain Gate yaichapa KMC 3-1

Shabiki NambaMoja By Shabiki NambaMoja
β€’
21 Oct 2024
Fountain Gate yaichapa KMC 3-1

Mshambuliaji wa Fountain Gate Selemani Mwalimu ameendelea kutakata katika ligi kuu ya NBC leo akifunga bao moja na kuihakikisha Fountain Gate kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 katika mchezo uliopigwa Babati, Manyara

Mwalimu ndiye kinara wa mabao ligi kuu ya NBC akiwa amefunga mabao sita

Mabao mengine ya Fountain Gate yalifungwa na Dickson Ambundo na William Edgar ambaye pia amefikisha mabao manne msimu huu

Bao la kufutia machozi kwa upande wa KMC lilifungwa na Andrew Vicent 'Chikuke'

Fountain Gate imepanda mpaka nafasi ya pili katika msimamo wa ligi baada ya kufikisha alama 16

Singida Black Stars ndio vinara wa ligi hiyo wakikusanya alama 19 baada ya kucheza mechi 7

More Stories

Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
28m ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
1h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
2h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
3h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
3h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
18h ago
READ MORE β†’
Clement Mzize arejea rasmi kikosini baada ya miezi sita nje kwa majeraha
Clement Mzize arejea rasmi kikosini baada ya miezi sita nje kwa majeraha
22h ago
READ MORE β†’