Bayern Munich na Marseille wameungana na Paris St-Germain katika mbio za kumsajili mshambuliaji wa England Marcus Rashford, 26, kutoka Manchester United. (Tea Talk) Manchester United wako tayari kupokea ofa za mkopo kwa ajili ya winga wa Brazil Antony, 24 wakati wa usajili wa Januari. (Football Insider)
Gwiji mstaafu wa Italia na Roma Francesco Totti, 48, anasema huenda akarejea uwanjani..... download Xtra 90 App



