International,Transfer News,

Tetesi za usajili Ulaya, Jumanne Oktoba 22 2024

Joel JJ By Joel JJ
β€’
22 Oct 2024
Tetesi za usajili Ulaya, Jumanne Oktoba 22 2024

Bayern Munich na Marseille wameungana na Paris St-Germain katika mbio za kumsajili mshambuliaji wa England Marcus Rashford, 26, kutoka Manchester United. (Tea Talk) Manchester United wako tayari kupokea ofa za mkopo kwa ajili ya winga wa Brazil Antony, 24 wakati wa usajili wa Januari. (Football Insider)

Gwiji mstaafu wa Italia na Roma Francesco Totti, 48, anasema huenda akarejea uwanjani baada ya kuwasiliana na klabu kadhaa za Serie A. (Gazzetta Dello Sport - kwa Kiitaliano)

Arsenal, Aston Villa na Newcastle wanavutiwa na kiungo mshambuliaji wa Red Bull Salzburg Oscar Gloukh, 20. (Caught Offside)

Bayer Leverkusen wanajiandaa kwa ajili ya kuondoka kwa kocha Xabi Alonso msimu ujao, huku Mhispania huyo akinyatiwa na Real Madrid na Manchester City, iwapo Pep Guardiola ataamua ataondoka. (Sky Germany)

Everton wanaandaa dau la pauni milioni 17 kumnunua mshambuliaji wa Besiktas wa miaka 19 wa Uturuki Semih Kilicsoy. (Kontraspor - kwa Kituruki)

La Liga inaomba Shirikisho la Soka la Uhispania, Uefa na Fifa kuruhusu mchezo wa Barcelona dhidi ya Atletico Madrid wa mwezi Desemba kufanyika Miami. (Mail)

Arsenal wanatafuta mbinu za kupanua Uwanja wa Emirates. (Times - usajili unahitajika)

BBC

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
48m ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
2h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
4h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
18h ago
READ MORE β†’