Meneja wa Habari na Mawasiliano klabu ya Simba Ahmed Ali amesema kupoteza mchezo wa ligi kuu dhidi ya watani zao Yanga hakuwezi kuwatoa katika mipango yao ya kuwania ubingwa msimu huu
Oktoba 19 Simba ilichapwa bao 1-0 na Yanga katika mchezo uliopigwa uwanja wa Benjamin Mkapa, matokeo ambayo ni kama yamewakatisha tamaa mashabiki wa timu hiyo
Ahmed amesema kila Mwanasimba ameumizwa na..... download Xtra 90 App



