Kocha Bakari Shime, atakiongoza kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania ya wachezaji wa Ligi ya ndani katika michuano ya CHAN
Shime ametangaza kikosi chake kwa ajili ya mchezo wa kwanza dhidi ya Sudan ambao unatarajiwa kuchezwa Oktoba 27, 2024 nchini Mauritania
Shime amesema, ameita wachezaji wengi kutoka timu ya taifa ya vijana chini ya miaka 20 'Ngorongoro Heroes' ilikuendelea kuwapa..... download Xtra 90 App



