Mgunda atua Namungo Fc

ProSports Media By ProSports Media β€’ 24th October 2024


Mgunda atua Namungo Fc

Klabu ya Namungo Fc imemkabidhi Kocha Juma Mgunda mikoba ya kukinoa kikosi cha timu hiyo akichukua nafasi ya Mwinyi Zahera

Kulingana na taarifa iliyotolewa na Namungo Fc, Zahera ataendelea kusalia katika timu hiyo akiwa mshauri wa benchi la ufundi

Mgunda ambaye ni kocha msaidizi wa timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars', amewahi kuzinoa klabu za Coastal Union, Simba Sc huku kibarua chake cha mwisho ikiwa kuinoa Simba Queens


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.