Hawa hapa wachezaji ghali zaidi Duniani

Joel JJ By Joel JJ β€’ 24th October 2024


Hawa hapa wachezaji ghali zaidi Duniani

Kwa mujibu wa mtandao wa Transfer Market, mshambuliaji wa Manchester City Erling Haaland na kiungo mshambuliaji wa Real Madrid Vinicious Junior ndio wachezaji ghali zaidi duniani kwa sasa

Wachezaji hao kila mmoja ana thamani ya Pauni Mil 200 wakifuatiwa na Jude Bellingham wa Real Madrid mwenye thamani ya Pauni Mil 180 kama ilivyo kwa Kylian Mbappe wa Real Madrid pia

Winga kinda wa Barcelona Lamine Yamal anashika nafasi ya tano akiwa na thamani ya Pauni Mil 150

Katika orodha hiyo, wachezaji watatu ghali zaidi duniani wanatoka klabu ya Real Madrid


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.