Mikiki mikiki ya ligi kuu ya NBC inaendelea leo ambapo mechi tatu zinatarajiwa kupigwa katika viwanja mbalimbali
Vinara wa ligi hiyo Singida BS, saa 8 mchana watakuwa uwanja wa nyumbani CCM Liti kuwakaribisha wapinzani wao wakuu Fountain Gate. Hii ni Derby ya mapacha ambayo inapigwa mapema
Hata hivyo Fountain Gate wanakwenda kwenye mchezo huo bila ya huduma ya wachezaji wao mauhimu,..... download Xtra 90 App



