Ligi Kuu ya NBC inaendelea leo kwa mechi tatu kupigwa katika viwanja mbalimbali
Baada ya kupoteza mechi mbili mfululizo katika uwanja wa nyumbani, Tanzania Prisons leo wanashuka dimba la Sokoine kuikabili KMC
Pengine ni mechi ya kuamua hatma ya kocha Mbwana Makata kwani kama Prisons itakosa ushindi leo, kibarua chake kitakuwa mashakani
Mabingwa watetezi Yanga wako ugenini..... download Xtra 90 App



