Bao la dakika ya 25 lililofungwa na Jean Beleke lililotosha kuihakikishia Yanga ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Coastal Union katika mchezo wa ligi kuu uliopigwa uwanja wa Sheikh Amri Abeid
Maabad Maulid alikaribia kuifungia Coastal Union bao la mapema kama sio mpira wake wa kichwa kugonga mwamba kabla ya kuokolewa na walinzi wa Yanga
Mpira wa kona uliopigwa na Maxi Nzengeli ulipelekea..... download Xtra 90 App



