Vinara wa ligi kuu ya NBC Singida Black Stars tayari wako visiwani Zanzibar kuelekea mchezo wao wa ligi kuu dhidi ya Yanga ambao utapigwa Jumatano, Oktoba 30 katika uwanja wa New Amaan Complex
Kocha Mkuu wa timu hiyo Patrick Aussems amesema msimu huu wamedhamiria kufanya mabadiliko kwenye nafasi ya juu katika msimamo wa ligi
Juzi Singida BS iliichapa Fountain Gate mabao 2-0 na..... download Xtra 90 App



