Local,Normal News,Yanga, Simba, Azam, Fountain Gate, Singida BS

Stars yaanza vibaya CHAN

Joel JJ By Joel JJ
β€’
28 Oct 2024
Stars yaanza vibaya CHAN

Timu ya Taifa ya Tanzania inayohusisha wachezaji wa ndani, imeanza vibaya kampeni ya kuwania kufuzu fainali za CHAN 2025 ikikubali kipigo cha bao 1-0 dhidi ya Sudan katika mchezo uliopigwa huko Mauritania

Bao la dakika ya 23 lililofungwa na Mohammed Abdulrahman liliihakikishia Sudan ushindi huo wa nyumbani

Tanzania sasa itahitaji kushinda angalau mabao mawili ili kufuzu kwa michuano hiyo itakayofanyika Afrika Mashariki yaani Tanzania, Kenya na Uganda

Kama mwenyeji mwenza wa michuano hiyo, Tanzania inapaswa kupambana ili kuhakikisha inafuzu

More Stories

Klopp amchagua ter stegen, kipa namba moja ujerumani
Klopp amchagua ter stegen, kipa namba moja ujerumani
1m ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
30m ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
1h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
2h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
3h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
3h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
18h ago
READ MORE β†’