International,Normal News,Manchester City, Italy, Saudi

Mancini afutwa kazi Saudi Arabia

Joel JJ By Joel JJ
β€’
28 Oct 2024
Mancini afutwa kazi Saudi Arabia

Kocha wa zamani wa Manchester City, Muitaliano Roberto Mancini amefutwa kazi kwenye kibarua chake cha timu ya taifa ya Saudi Arabia

Mtaliano huyo mwenye umri wa miaka 59 aliteuliwa kwenye kiti hicho Agosti 2023 na kusaini mkataba wa miaka minne uliokuwa na thamani ya Pauni 77 milioni. (Sh 272bilioni)

Mkataba huo ulimfanya Mancini kuwa kocha ghali zaidi duniani. Lakini, maisha yake huko Mashariki ya Kati yalikuwa kwenye wakati mgumu

Mancini alipata ushindi mara saba tu katika mechi 18 alizoiongoza timu hiyo katika kipindi cha miezi 14 aliyokuwa kazini

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
1h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
2h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
3h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
5h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
19h ago
READ MORE β†’