Bodi ya Ligi imeahirisha mechi mbili za ligi kuu zinazoihusisha klabu ya JKT Tanzania ambayo jana ilipata ajali wakati ikitokea mkoani Dodoma
Afisa Habari wa Bodi ya Ligi Karim Boimanda amesema mchezo kati ya Simba dhidi ya JKT Tanzania uliokuwa upigwe kesho Jumanne katika uwanja wa KMC Complex umeahirisha pamoja na mchezo uliokuwa ukifuata kati ya JKT Tanzania dhidi ya Namungo..... download Xtra 90 App



