Licha ya kikosi chake kuonekana kuimarika, Kocha Mkuu wa Simba Fadlu Davids bado amehitaji maboresho zaidi katika usajili wa dirisha dogo linalotarajiwa kufunguliwa Disemba 16 hadi Januari 15 2025
Baada ya kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa watani zao Yanga katika mchezo wa ligi kuu uliopigwa Oktoba 19, Fadlu alidokeza kuwa lazima yafanyike maboresho katika baadhi ya maeneo ili kuwa na timu..... download Xtra 90 App



