Manchester United wametangaza kwamba hatimaye wameachana na Meneja wao Erik ten Hag baada ya kipigo cha mabao 2-1 kutoka kwa West Ham jana
Ten Hag anaondoka huku akiwaacha mashetani Wekundu wakishuka hadi nafasi ya 14 kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya Uingereza
Katika taarifa rasmi, United ilithibitisha kuondoka kwa Ten Hag na kwamba Ruud van Nistelrooy atachukua mikoba ya muda pamoja..... download Xtra 90 App



