Bao la dakika za lala salama lililofungwa na Salum Kihimbwa limeinusuru Fountain Gate kukubali katika uwanja wake wa nyumbani huko Manyara baada ya kulazimisha sare ya mabao 2-2 dhidi ya Mashujaa Fc
Kwa upande mwingine Mashujaa Fc watajilaumu kwa kukosa ushindi katika mchezo huo ambao walitangulia mbela kwa mabao mawili
Seif Karihe aliifungia bao la kwanza Mashujaa Fc mapema tu..... download Xtra 90 App



