Local,Normal News,Fountain

Kihimbwa anauwasha moto ligi kuu

Joel JJ By Joel JJ
β€’
29 Oct 2024
Kihimbwa anauwasha moto ligi kuu

Fountain Gate imeanza vyema msimu huu ligi kuu ya NBC ikishika nafasi ya tano baada kwenye msimamo wa ligi baada ya kukusanya alama 17

Kama utazungumzia mafanikio ya Fountain Gate msimu huu basi hutakosa kutaja jina la kiungo mshambuliaji Salum Kihimbwa

Kihimbwa amehusika katika mabao saba yaliyofungwa naa timu hiyo akifunga mabao matatu na kutoa assist nne

Jana alibeba tuzo ya nyota wa mchezo dhidi ya Mashujaa Fc akifunga bao la pili la Fountain Gate katika mchezo ambao ulimalizika kwa matokeo ya sare ya mabao 2-2

Kihimbwa, Selemani Mwalimu, William Edgar na Dickson Ambundo wamekuwa chachu ya mafanikio ya kikosi cha Fountain Gate msimu huu

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
1h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
2h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
3h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
5h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
19h ago
READ MORE β†’