International,Normal News,Genoa, Liverpool, Manchester City, Italy

Balotelli atua Genoa

Joel JJ By Joel JJ
β€’
29 Oct 2024
Balotelli atua Genoa

Timu ya Serie A ya Italia iliyokumbwa na majeraha Genoa ilitangaza kumsajili mshambuliaji wa zamani wa Italia Mario Balotelli siku ya Jumatatu

Genoa ina wachezaji saba ambao ni majeruhi akiwemo fowadi Junior Messias, Vitinha na Caleb Ekuban na wameamua kucheza kamari kwa mchezaji huru Balotelli, ambaye alicheza mara ya mwisho Serie A akiwa na Brescia miaka minne iliyopita na msimu uliopita alikuwa Adana Demirspor nchini Uturuki

"Balotelli ni mchezaji mpya wa Genoa, karibu Super Mario" ilithibitisha klabu hiyo inayoshika nafasi ya 18 baada ya Jumapili kufungwa 3-0 na Lazio

Balotelli amesaini hadi mwisho wa msimu huu, vyombo vya habari vya Italia viliripoti

Mzaliwa wa Palermo kwa wazazi wa Ghana, alikuwa mmoja wa nyota wachanga wa soka ya Italia na kuchukuliwa kuwa mshambuliaji wa kiwango cha dunia, akichezea Inter Milan, Manchester City, AC Milan na Liverpool

Lakini msururu wa vilabu vidogo ulifuata na, akiwa na umri wa miaka 34, kuhamia Genoa kunawakilisha nafasi ya mwisho kwa Balotelli kwenye hatua kubwa baada ya kazi ngumu ambapo vichwa vya habari vya nje ya uwanja vimekuwa jambo la kawaida kwake

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
2h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
3h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
3h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
4h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
5h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
6h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
6h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
19h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
19h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
20h ago
READ MORE β†’