Timu ya Serie A ya Italia iliyokumbwa na majeraha Genoa ilitangaza kumsajili mshambuliaji wa zamani wa Italia Mario Balotelli siku ya Jumatatu
Genoa ina wachezaji saba ambao ni majeruhi akiwemo fowadi Junior Messias, Vitinha na Caleb Ekuban na wameamua kucheza kamari kwa mchezaji huru Balotelli, ambaye alicheza mara ya mwisho Serie A akiwa na Brescia miaka minne iliyopita na msimu..... download Xtra 90 App



