Ligi Kuu ya NBC iliendelea leo kwa mechi mbili kupigwa mikoa ya Mbeya na Arusha
Wakitumia uwanja wa Sheikh Amri Abeid kama uwanja wao wa nyumbani, Coastal Union wameichapa Kagera Sugar bao 1-0
Wagosi hao wa Kaya walilazimika kuzubiri mwishoni mwa kipindi cha pili kujihakikishia alama tatu kwa bao la dakika ya 86 lililofungwa na Semfukwe Charles





