Juzi Pamba Jiji ilikubali kichapo cha bao 1-0 kutoka kwa Namungo Fc, katika mchezo wa raundi ya 10 ligi kuu ya NBC
Kipigo hicho kimeendeleza mlolongo wa matokeo mabovu ya timu hiyo tangu ilipopanda daraja msimu huu
Ikiwa imeshacheza michezo 10, Pamba Jiji haijashinda hata mchezo mmoja ikiwa ni timu pekee ambayo haijaonja utamu wa ushindi kwenye Ligi Kuu





