Baada ya mchezo dhidi ya JKT Tanzania kuahirishwa, Wekundu wa Msimbazi, Simba Sc wameweka nguvu katika mchezo unaofuata dhidi ya Mashujaa Fc ambao utapigwa Ijumaa, Novemba 1 katika uwanja wa Lake Tanganyika
Kikosi cha Simba jana kilionekana kikifanya mazoezi katika mchana wa jua kali, ikielezwa Kocha Mkuu wa timu hiyo Fadlu Davids anawaandaa vijana wake kukabiliana na mazingira ya joto..... download Xtra 90 App



