Raundi ya 4 Carabao Cup leo

Joel JJ By Joel JJ β€’ 30th October 2024


Raundi ya 4 Carabao Cup leo

Mechi sita za michuano ya Kombe la Carabao huko England zinapigwa leo katika viwanja tofauti

Brighton inaialika bingwa mtetezi Liverpool katika uwanja wa The American Express Community huku Crystal Palace ikiwa mgeni wa Aston Villa katika uwanja wa Villa Park

Manchester United ambayo imemtimua Erik Ten Hag hivi karibuni ni mwenyeji wa Leicester City katika uwanja wa Old Trafford

Mchezo mwingine unaosubiriwa kwa hamu ni kati ya Tottenham Hotspur na Manchester City kwenye uwanja wa Tottenham Hotspur

Arsenal itakuwa ugenini kuivaa Preston North End kwenye uwanja wa Deepdale wakati Newcastle United ni mwenyeji wa Chelsea katika uwanja wa St James' Park


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.