Klabu ya Yanga imeanza mazungumzo ya kuhuisha mikataba ya nyota wake wa kikosi cha kwanza raia wa Ivory Coast Pacome Zouzoua na Yao Kouassi, imefahamika
Yao na Pacome ni miongoni mwa wachezaji katika kikosi cha Yanga ambao mikataba yao inamalizika mwishoni mwa msimu huu kama ilivyo kwa kiungo Mganda Khalid Aucho
Mapema wiki hii zilivuna tetesi kuwa klabu ya Simba inafuatilia kwa..... download Xtra 90 App



