Local,Normal News,Singida, Yanga

Pacome aipeleka Yanga kileleni

Joel JJ By Joel JJ
β€’
30 Oct 2024
Pacome aipeleka Yanga kileleni

Bao la dakika ya 67 lililofungwa na Pacome Zouzoua limeipeleka Yanga kileleni mwa msimamo wa ligi baada ya ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Singida Black Stars

Ilikuwa mechi kali iliyojaa ufundi pamoja na ubabe kutoka kwa kila timu, vita halisi ya juu ya msimamo wa ligi

Yanga walionekana kutawala mchezo katika kipindi cha kwanza huku Singida BS wakifanya mashambulizi yao kwa kushitukiza zaidi

Mashambulizi makali yalitengenezwa na kila timu katika kipindi cha pili lakini walikuwa ni Yanga walionufaika na shuti la nje ya 18 kutoka kwa Pacome

Yanga imefikisha alama 24 ikiishusha Singida BS nafasi ya pili katika msimamo wa ligi

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
44m ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
2h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
4h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
18h ago
READ MORE β†’